Mshambuliaji wa Juventus, Mario Mandzukic akiifungia Croatia bao dakika ya 35 kukamilisha hat-trick yake katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji Kosovo usiku wa jana katika mchezo wa Kundi I kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Loro Borici, mjini Shkoder baada ya awali kufunga dakika za sita (6) na 24. Mabao mengine ya Croatia yalifungwa na Matej Mitrovic dakika ya 68, Ivan Perisic dakika ya 83 na Nikola Kalinic dakika ya 90+2 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EXCLUSIVE: Blues Brothers! Mosese Tuipulotu could line up alongside Sione
for Scotland as Edinburgh swoop for 22-year-old centre
-
Scotland could feature two brothers as their centre pairing from next
season as Sione Tuipulotu's younger sibling Mosese closes in on a move to
Edinburgh R...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment