Kiungo wa Italia, Daniele de Rossi akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha kwa penalti dakika ya 82 baada ya Eder kuangushwa na Sergio Ramos wa Hispania timu hizo zikitoa safre ya 1-1 katika mchezo wa Kundi G kuwania tiketi ya Kombe la Dunia mwaka 2018 Urusi uliofanyika usiku wa jana Uwanja wa Juventus mjini Turin. Hispania walitangulia kwa bao la Vitolo dakika ya 55 akitumia vizuri makosa ya gwiji wa Italia, Gianluigi Buffon PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dolphins' Tyreek Hill: 'It's About to Get Ugly' After Odell Beckham Jr.'s
Contract
-
Tyreek Hill has sent a message to the rest of the NFL after the Miami
Dolphins landed Odell Beckham Jr. in free agency. Per NFL Network's Ian
Rapoport and ...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment