Ciro Immobile akishangilia baada ya kuifungia Italia bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiilaza 3-2 Macedonia katika mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Nacionalna Arena Filip II Makedonski mjini Skopje. Immobile alifunga bao lingine kabla ya hilo dakika ya 75, wakati bao lingine la Italia lilifungwa na Andrea Belotti huku mabao ya Macedonia yakifungwa na Ilija Nestorovski dakika ya 57 na Ferhan Hasani dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United will listen to offers for all their squad bar just THREE players
with Marcus Rashford, Antony and Casemiro among those who could leave...
but how much money can they raise as clubs tighten their belts?
-
Manchester United are believed to be planning a major squad shake-up this
summer as Sir Jim Ratcliffe and Ineos usher in a new era at Old Trafford.
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment