Kinda wa miaka 20, Andre Silva (kulia) akipongezwa na Nahodha wake, Cristiano Ronaldo baada ya kuifungia hat trick Ureno katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Faroe Islands kwenye mchezo wa Kundi B Uwanja wa Torsvollur, Torshavn, Streymoy usiku wa jana. Silva alifunga dakika za (12, 22, 37), wakati mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 65, Joao Moutinho dakika ya 90 na ushei na Joao Cancelo dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley fan is spotted making sick gestures mocking the Munich air disaster
during draw with Man United at Old Trafford... as club vow to help police
'identify and prosecute' supporters over tragedy chanting
-
Footage was posted on social media following Burnley's 1-1 draw against Man
United on Saturday, with one supporter seen making aeroplane gestures with
his ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment