• HABARI MPYA

    Sunday, May 26, 2013

    ROBBEN AIBEBESHA UBINGWA WA ULAYA BAYERN KWA BAO LA DAKIKA YA 89 WEMBLEY


    Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia Dortmund
    Mabingwa: Bayern Munich wakisherehekea taji lao la Ligi ya Mabingwa baada ya kuifunga Borussia Dortmund
    Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia Dortmund
    Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia Dortmund
    Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia Dortmund

    IMEWEKWA MEI 25, 2013 SAA 6:00 USIKU
    WINGA Arjen Robben ameuzika mzimu wa kukosa penalti msimu uliopita katika fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Chelsea, baada ya usiku huu kuifungia bao la ushindi Bayern Munich katika fainali ya michuano hiyo Uwanja wa Wembley, London, England ikishinda 2-1 na kutwaa Kombe hilo.
    Bayern sasa wanakuwa mabingwa wapya wa Ulaya, wakirithi taji lililoachwa wazi na Chelsea kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Wajerumani wenzao, Borussia Dortmund katika mchezo mkali na wa kusisimua.
    Mholanzi huyo alifunga bao hilo tamu dakika ya 89, baada ya awali kipindi cha kwanza kukosa mabao mawili ya wazi. Lakini ndiye aliyetoa pasi ya bao la kwanza kwa Bayern lililofungwa na Mario Mandzukic dakika ya 60.
    Dortmund ilisawazisha kwa penalti baada ya Dante kumuangusha kwenye eneo la hatari Marco Reus na Ilkay Gundogan akaenda kufunga dakika ya 67. 
    Katika mchezo huo, uliochezeshwa na refa Nicola Rizzoli  kutoka Italia, kikosi cha Bayern kilikuwa; Neuer, Lahm, Boateng, Dante, Alaba, Javi Martinez, Schweinsteiger, Robben, Muller, Ribery/Gustavo dk90+1 na Mandzukic/Gomez dk90+4.  
    Borussia Dortmund: Weidenfeller, Piszczek, Subotic, Hummels, Schmelzer, Bender/Sahin dk90+1, Gundogan, Blaszczykowski/Schieber dk90+1, Reus, Grosskreutz na Lewandowski.  
    Dutch delight: Arjen Robben settled the Champions League final with a late, late strike
    Bao la ubingwa: Arjen Robben amekuwa shujaa wa fainali ya Ligi ya Mabingwa usiku huu
    Dutch delight: Arjen Robben settled the Champions League final with a late, late strike
    Big chances: The first-half was the tale of two goalkeepers with Roman Weidenfeller denying Arjen Robben, and Manuel Neuer keeping Robert Lewandowski out
    Champions League final
    Champions League final
    Controversy: Franck Ribery was lucky to escape punishment when his flailing arm caught Lewandowski in the face
    Controversy: Franck Ribery was lucky to escape punishment when his flailing arm caught Lewandowski in the face
    Controversy: Franck Ribery was lucky to escape punishment when his flailing arm caught Lewandowski in the face
    Breakthrough: Robben finally wriggled free to set up Mario Mandzukic for the opener in the second half

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ROBBEN AIBEBESHA UBINGWA WA ULAYA BAYERN KWA BAO LA DAKIKA YA 89 WEMBLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top