• HABARI MPYA

    Sunday, May 26, 2013

    AGUERO AJITIA PINGU HADI 2017 MAN CITY


    IMEWEKWA MEI 25, 2013 SAA 5:50 USIKU
    MSHAMBULIAJI Sergio Aguero amesaini mkataba wa kuendelea kuichezea Manchester City hadi mwaka 2017.
    Mshambuliaji huyo mwenye kipaji, mmoja wa walio bora duniani, amekuwa akiwaniwa na Real Madrid kwa ajili ya msimu ujao baada ya kufanya kazi nzuri Etihad, lakini ameamua kujitia pingu kabla hata ya kuajiriwa kwa kocha mpya.
    "Nina furaha sana City na ninahisi nakubalika sana,"alisema.
    Crucial: Sergio Aguero is among the Premier League's best players
    Sergio Aguero
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: AGUERO AJITIA PINGU HADI 2017 MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top