• HABARI MPYA

    Wednesday, May 22, 2013

    MAN CITY YAPATA MKATABA MPYA MNONO WA JEZI KUTOKA NIKE NA KUIPIGA CHINI UMBRO


    IMEWEKWA MEI 22, 2013 SAA 8:00 MCHANA
    KLABU ya Manchester City imezindua rasmi udhamini wake mpya wa jezi wa Pauni Milioni 72 na kampuni ya vifaa vya michezo Marekani, Nike sambamba na kuzindua jezi zake za msimu ujao nyumbani mjini New York.
    City ilitangaza mwaka uliopita wataachana na Umbro, ambayo awali ilikuwa inamilikiwa na Nike, baada ya kukubali mkataba wa Pauni Milioni 12 kwa mwaka kwa miaka zaidi yasita.
    New look: Manchester City launched this kit in New York on Tuesday afternoon
    Muonekano mpya: Manchester City wamezindua jezi hizi mjini New York jana mchana
    Trim: The sky-blue jersey is complete with a navy and white lining
    Cha kubana: Jezi ya rangi ya mawingu
    Eye on the ball: James Milner shows off City's new strip in New York
    Jicho kwenye mpira: James Milner akionyesha jezi mpya za City mjini New York
    Eye on the ball: James Milner shows off City's new strip in New York
    Getting involved: Gael Clichy tries the sky-blue strip out for size
    Alikuwepo: Gael Clichy 
    Glimpse: Joe Hart
    Joe Hart
    Kipa namba moja wa England, Joe Hart akiwa na jezi mpya za makipa wa City 
    Samir Nasri
    James Milner
    Samir Nasri na Milner (kulia)
    Watch and learn, Gael: Milner shows his prowess as Clichy watches
    Milner akionyesha uwezo wake wa kuchezea mpira, huku Clichy akimtazama
    Role reversal: Clichy grabs the camera during the photoshoot
    Role reversal: Clichy grabs the camera during the photoshoot
    Clichy akiwa na kamera wakati wa kupiga picha za jezi mpya 
    Thumbs up: Kolo Toure and some other City players visited the New York Fire Department
    Kolo Toure na wachezaji wengine wa City walipotembelea Idara ya zimamoto ya New York
    Trying on the headgear: Maicon, Richard Wright, Emyr Huws, Dedryck Boyata, Micah Richards, Gareth Barry, Joleon Lescott, Albert Rusnak , Karim Rekik and Kolo Toure visit FDNY
    Maicon, Richard Wright, Emyr Huws, Dedryck Boyata, Micah Richards, Gareth Barry, Joleon Lescott, Albert Rusnak, Karim Rekik na Kolo Toure walipotembelea FDNY
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN CITY YAPATA MKATABA MPYA MNONO WA JEZI KUTOKA NIKE NA KUIPIGA CHINI UMBRO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top