• HABARI MPYA

    Wednesday, February 27, 2013

    YANGA SC NA KAGERA SUGAR KATIKA PICHA TAIFA LEO, LILIKUWA BONGE LA MECHI

    Mshambuliaji wa Yanga, Mrundi Didier Kavumbangu akikosa bao la wazi yeye na kipa wa Kagera Sugar, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, uliofanyika jioni ya leo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0.

    Beki wa Kagera, Benjamin Asukile akmkwatua winga wa Yanga, Simon Msuva

    Beki wa Kagera Martin Muganyizi akipitia mpira miguuni mwa Simon Msuva 

    Hatari kwenye lango la Kagera

    Simon Msuva akitafuta mbinu za kumtoka Juma Nade

    Mfungaji wa bao pekee la ushindi la Yanga leo, Haruna Niyonzima akipokea zawadi ya fedha kutoka kwa mashabiki baada ya mechi

    Simon Msuva akimuacha chini Juma Nade 

    Shijja Mkinna wa Kagera akituliza mpira uliopita beki wa Yanga, Oscar Joshua kushoto. kulia ni Melegesi Mwangwa.

    Kikosi cha Kagera Sugar leo

    Kikosi cha Yanga leo

    Simon Msuva akituliza mpira gambani mbele ya beki wa Kagera 

    Kipa wa Kagera Sugar, Hannington Kalyesebula akielekea kudaka mpira mbele ya Said bahanuzi wa Yanga

    Beki wa Kagera, Benjamin Asukile akimiliki mpira mbele ya Simon Msuva wa Yanga

    Kiungo wa Yanga, Frank Domayo akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Kagera

    Said Bahanuzi akimuacha chini malegesi Mwangwa

    Frank Domayo akimiliki mpira mbele ya George Kavilla aliyelala chini kuutafuta 

    Haruna Niyonzima akituka kwanja la Martin Muganyizi

    Niyonzima akimkokota mtu

    Domayo anafumua shuti

    Bahanuzi anapasua

    Bahanuzi akiwatoka mabeki wa Kagera

    George Kavilla aliyeruka juu kupiga mpira kichwa dhidi ya mchezaji wa Yanga

    Athumani Iddi 'Chuji' wa Yanga akimtoka George Kavilla wa Kagera Sugar kushoto

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: YANGA SC NA KAGERA SUGAR KATIKA PICHA TAIFA LEO, LILIKUWA BONGE LA MECHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top