Mshambuliaji wa Tanzania, Abdul Suleiman (kulia) akienda chini baada ya kuzidiwa maarifa na kipa wa Mali, Youssouf Koita (katikati) na kukosa bao la wazi katika mchezo wa kwanza wa Kundi B Fanali za Vijana Afrika chini ya umri wa miaka 17 jana Uwanja wa wa l’Amitie Sino mjini Libreville, Gabon timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana.
Muhsin Makame wa Serengeti Boys akimtoka mchezaji wa Mali, Mamadou Samake
Yohana Nkomola wa Tanzania (kushoto) akimiliki mpira mbele ya Ibrahim Kane wa Mali
Ally Ng'anzi wa Serengeti Boys akiwafunga msafara wachezaji wa Mali
Mshambuliaji wa Mali, Aboud Salam Jiddou akipambana na wachezaji wa Mali (katikati)
Kipa wa Tanzania, Ramadhan Kabwili akiwa amedaka moja ya hatari langoni mwake
Israel Patrick Mwenda wa Tanzania akiondoka na mpira kwa mehsabu dhidi ya mchezaji wa Mali
Manahodha wa Mali, Mohamed Camara (kushoto) na Dickson Nickson (kulia) wakiwa na marefa wa mchezo huo
Kikosi cha Tanzania katika mchezo wa jana na chini kikosi cha Mali
Marcus Rashford offers worrying update as he speaks out over 'months and
months of abuse' after being booed by Man United fans - as supporters pin
the blame on YouTuber's rants
-
Marcus Rashford (left) has endured a difficult season on the pitch, failing
to match the achievements of his 30-goal haul during the 2022-23 campaign,
scor...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment