• HABARI MPYA

    Thursday, May 11, 2017

    HIMID AMALIZANA NA WADENMARK, AMVAA SAMATTA UBELGIJI

    Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Mbwana Samatta anayechezea KRC Genk ya Ubelgiji (kulia) akiwa na mgeni wake, Nahodha msaidizi wa timu hiyo, Himid Mao wa Azam FC ya nyumbabi jana baada ya kumpokea mjini Genk akitokea Denmark alipokuwa kwa majaribio katika klabu ya Randers FC.   
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HIMID AMALIZANA NA WADENMARK, AMVAA SAMATTA UBELGIJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top