Wachezaji wa Poland wakimlalamikia refa baada ya nahodha wao, Robert Lewandowski kurushiwa moto na mashabiki wa wenyeji, Romania katika mchezo wa Kundi E kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi. Mchezo ulisimama kwa dakika 10 kutokana na tukio hilo na Lewandowski alipatiwa huduma ya kwanza kabla ya mchezo kuendelea na Poland kushinda 3-0, mabao ya Kamil Grosicki dakika ya 11 na Lewandowski mawili dakika ya 83 na 90 na ushei kwwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stat shows Bruno is Europe's best creator
-
Fernandes leads the way this term in the Premier League and across the
continent.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment