Wachezaji wa Chelsea wakisherehekea ushindi wa 5-0 dhidi ya Everton usiku huu Uwanja wa Stamford Bridge, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Eden Hazard mawili dakika za 19 na 56, Marcos Alonso dakika ya 20, Diego Costa dakika ya 42 na Pedro dakika ya 56 na kwa ushindi huo, The Blues wanapanda kileleni kwa kufikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 11, wakiiteremshia nafasi ya pili Manchester City yenye pointi 24 za mechi 11 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment