ANNETTE NA THE UNIT WALIVYOKONGA NYOYO UZINDUZI WA THURAYA
Mwanamuziki Annette Seghito Ngongo akiimba na bendi ya The Unit Ijumaa kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Courtyard, Sea View, Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa simu za Thuraya
Annette alikonga nyoyo za waalikwa kwenye shughuli hiyo
Maelezo kuhusu simu za Thuraya ambazo zipo katika mfumo tofauti na simu za mkononi zilizozoeleka nchini
Waalikwa wakisikiliza kwa makini kuhusu simu za Thuraya
Waalikwa walijipatia elimu ya kutosha kuhusu simu za Thuraya
Maofisa wa Thuraya wakiwaelimisha waalikwa kuhusu simu za Thuraya
Waalikwa wakifuatilia kwa makini maelezo kuhusu simu za Thuraya
Baada ya elimu kuhusu simu za Thuraya, ikafuatia pati fupi ya wima na burudani ya bendi ya The Unit ikiongozwa na mwanadada Annette
Sky überträgt | Sanchos Leipzig-Serie
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund bei Rasenballsport Leipzig an. Anstoß
ist um 15:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir
kompakt...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment