• HABARI MPYA

    Monday, October 17, 2016

    SARE YA JANA YANGA NA AZAM HATA SAUKO SHAHIDI

    Katibu Mkuu wa zamani wa Yanga, Abdul Sauko (kulia) akiwa jukwaani jana kufuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana kati ya timu hiyo na Azam FC uliomalizika kwa sare ya 0-0 
    Viongozi wa zamani wa Yanga, kutoka kulia Salum Mkemi (kulia), Philemon Ntahilaja na Beda Tindwa jana Uwanja wa Uhuru
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SARE YA JANA YANGA NA AZAM HATA SAUKO SHAHIDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top