KLABU ya Azam FC imewaongezea mikataba wachezaji wake chipukizi wawili, Pascal Msindo na Tepsie Evance wa mwaka mmoja kila mmoja juu ya mikataba yao ya awali. Taarifa ya Azam FC imesema kwamba mikataba yao ya awali ilikuwa inaisha mwaka 2024, lakini kwa nyongeza waliyoifanya leo, ina maana kwamba wataendelea kupiga kazi Chamazi hadi mwaka 2025. Wachezaji hawa ni zao la akademi yetu waliyojiunga nayo mwaka 2016.
PDP crisis won’t stop its victory in 2027-Pearse
-
• Coalition for 2027 dead on arrival A public affairs analyst and Convener
of the Reset Lagos Peoples Democratic Party (PDP), Dr Adetokunbo Pearse,
has s...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment