Beki Pablo Zabaleta akiwa amerushwa juu na wachezaji wenzake baada ya kuichezea Manchester City mechi ya mwisho Uwanja wa Etihad usiku wa Jumanne akihitimisha miaka yake tisa ya mafanikio kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya West Bromwich Albion. Mabao ya Man City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 27, Kevin De Bruyne dakika ya 29 na Yaya Toure dakika ya 57, wakati la WBA limefungwa na Hal Robson-Kanu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United will listen to offers for all their squad bar just THREE players
with Marcus Rashford, Antony and Casemiro among those who could leave...
but how much money can they raise as clubs tighten their belts?
-
Manchester United are believed to be planning a major squad shake-up this
summer as Sir Jim Ratcliffe and Ineos usher in a new era at Old Trafford.
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment