Manuel Lanzini akishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao pekee la ushindi dakika ya 65 ikiilaza Tottenham Hotspur 1-0 usiku wa jana Uwanja wa London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kwa matokeo hayo, Spurs inaelekea kujitoa kwenye mbio za ubingwa na sasa wapinzani wao, Chelsea watajihakikishia taji wakishinda mechi zao mbili zijazo. Chelsea wanaongoza kwa pointi zao 81 za mechi 34, wakati Spurs ni wa pili kwa pointi zao 77 za mechi 35 sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlos Alcaraz OUT of the French Open: World No 2 pulls out of Roland
Garros with wrist injury - handing arch rival Jannik Sinner major boost as
he chases maiden victory
-
The World No 2, who triumphed at the Australian Open at the start of the
year, said on Instagram that he was taking the 'prudent' measure following
tests.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment