Manuel Lanzini akishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao pekee la ushindi dakika ya 65 ikiilaza Tottenham Hotspur 1-0 usiku wa jana Uwanja wa London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kwa matokeo hayo, Spurs inaelekea kujitoa kwenye mbio za ubingwa na sasa wapinzani wao, Chelsea watajihakikishia taji wakishinda mechi zao mbili zijazo. Chelsea wanaongoza kwa pointi zao 81 za mechi 34, wakati Spurs ni wa pili kwa pointi zao 77 za mechi 35 sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Exec: Malik Nabers Can't 'Save' Giants' Daniel Jones After Saquon
Barkley Exit
-
Even though the New York Giants fans are excited about what Malik Nabers
will add to their offense, at least one NFL executive is skeptical his
presence will…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment