Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kulia) akimiliki mpira mbele ya kiungo wa African Lyon, Omar Abdallah katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-1
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akiwania mpira dhid ya mchezaji wa African Lyon
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude (kushoto) akiwania mpira dhidi ya mchezaji wa African Lyon
Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akimtoka mchezaji wa African Lyon
Winga wa Simba, Shizza Kichuya (kulia) akimgeuza beki wa African Lyon
Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo akitafuta maarifa ya kumpita beki wa African Lyon, Hassan Isihaka
Kocha Msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja (kulia) akiwapa mbinu mbadala wachezaji wake jana
Kutoka kulia ni Kocha wa Singida United, Mholanzi Hans van der Pluijm, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe na mpenzi wa Simba, Hamisi Mngeja
Kikosi cha African Lyon jana
Kikosi cha Simba jana
The American nightmare! Birmingham City are staring relegation in the face
after the disastrous hiring and firing of Wayne Rooney in the first season
since the club's Tom Brady-fronted takeover
-
This was sold as the year Birmingham City would embrace the American Dream
but the reality is proving a nightmare as they stare relegation in the face
on t...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment