Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo (kushoto), akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Stand United ya Shinyanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0
Laudit Mavugo (kulia) na Mohammed 'Mo' Ibrahim (kushoto) wakimpongeza Juma Luizio baada yaa kufunga mabao mawili katika ushindi wa 2-0 jana
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Stand United
Muzamil Yassin akipiga shuti mbele ya wachezaji wa Stand United
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana na chini ni kikosi cha Stand United
Blakes' 17 points ease No. 13 Vanderbilt women past Albany
-
Mikayla Blakes extended her double-digit scoring streak to 30 games and
finished with 17 points and six steals as No. 13 Vanderbilt pulled away
from Albany...
26 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment