Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo (kushoto), akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Stand United ya Shinyanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0
Laudit Mavugo (kulia) na Mohammed 'Mo' Ibrahim (kushoto) wakimpongeza Juma Luizio baada yaa kufunga mabao mawili katika ushindi wa 2-0 jana
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Stand United
Muzamil Yassin akipiga shuti mbele ya wachezaji wa Stand United
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana na chini ni kikosi cha Stand United
Alex Pereira shares 'breaking news' video of himself signing a fight
contract, with fans sent into frenzy over potential Tom Aspinall UFC 304
showdown - but which clue could give it away?
-
Pereira gave fans a hint over a huge showdown with a major name this summer
after uploading a video of him signing a contract - before being handed a
pair ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment