Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 60 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Southampton usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St Mary's. Bao la pili la Arsenal limefungwa na Olivier Giroud dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves' Anthony Edwards Hails Nikola Jokić as 'Best Player in the World'
After G1 Win
-
Anthony Edwards had high praise for Nikola Jokić after the Minnesota
Timberwolves beat the Denver Nuggets in Game 1 of the Western Conference
Semifinals on…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment