Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima (kulia) akisalimiana na aliyekuwa kiungo wa Simba, Patrick Mutesa Mafisango baada ya mchezo wa Ngao ya Jamii Agosti 17, mwaka 2011 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0, mabao ya Haruna Moshi ‘Boban’ dakika ya 15 na Felix Sunzu dakika ya 38. Leo ni miaka mitano tangu Mafisango afariki kwa ajali ya gari Mei 17, mwaka 2012 akiwa mchezaji wa Simba SC. Mungu amsamehe dhambi zake na ampumzishe kwa amani daima. Amin.
Tan gives green light to Bulut contract talks
-
Cardiff City are looking to agree a new deal with manager Erol Bulut after
Bluebirds owner Vincent Tan authorises contract talks.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment