Nahodha wa Monaco, Radamel Falcao akisherehekea na Kombe la Ligi 1 ya Ufarana baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya St. Etienne usiku wa jana Uwanja wa Louis II mjini Monaco na kujihakikishia ubingwa wa Ligi Kuu ya nchi huyo kwa mabao ya Kylian Mbappe dakika ya 19 na Valere Germain dakika ya 90 na ushei, hilo likiwa taji lao la kwanza la ligi hiyo tangu mwaka 2000 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Soccer legend Fernando Torres makes bizarre appearance at the NFL Draft as
the former Chelsea and Liverpool striker announces the Miami Dolphins'
sixth-round pick from Madrid
-
Soccer legend Fernando Torres made a bizarre surprise appearance at the NFL
Draft, announcing a sixth-round draft pick for the Miami Dolphins. The
former S...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment