Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 na 82 kwa penalti katika ushindi wa 4-1 wa Barcelona dhidi ya Villarreal usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Neymar Junior dakika ya 21 na Luis Suarez dakika ya 69, wakati la Villarreal lilifungwa na Cedric Bakambu dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson Taunts Jake Paul as Boxing Match Announced as a Sanctioned, Pro
Fight
-
The Texas Department of Licensing and Regulations is sanctioning the
scheduled bout between Mike Tyson and Jake Paul as an official fight. "Mike
Tyson and…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment