Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 na 82 kwa penalti katika ushindi wa 4-1 wa Barcelona dhidi ya Villarreal usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Neymar Junior dakika ya 21 na Luis Suarez dakika ya 69, wakati la Villarreal lilifungwa na Cedric Bakambu dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disaster strikes for highly-rated NFL Draft star Jermod McCoy as teams
completely ignore him in top 100 picks
-
The 6-foot-1, 188lb cornerback out of Tennessee was projected to be picked
in the top 20 in Pittsburgh, and had been holding out hopes for a top-10
selecti...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment