Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akimtoka mchezaji wa Southampton katika mechi ya Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St. Mary's timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Southampton walizawadiwa penalti ndani ya dakika tano za mwanzo baada ya Eric Bailly kuunawa mpira nje ya boksi, lakini kipa Sergio Romero akaokoa mkwaju wa Manolo Gabbiadini PICHA ZAIDI GONBA HAPA
James' Lakers knocked out with defeat by Nuggets
-
The Los Angeles Lakers are knocked out of the NBA play-offs by defending
champions, the Denver Nuggets.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment