Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford (kushoto) akipongezwa na mchezaji mwenzake, Antonio Valencia baada ya kuifungia bao pekee timu yake katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Celta Vigo dakika ya 67 kwa shuti la moja kwa moja la mpira wa adhabu katika Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA Europa League usiku huu Uwanja wa Balaidos, Vigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordyn Tyson goes to Saints at 8th overall, giving offense another weapon
-
The Saints got some help for second-year quarterback Tyler Shough.
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment