David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Vincent Kompany dakika ya 49, Kelvin De Bruyne dakika ya 59, Raheem Sterling dakika ya 82 na Nicolas Otamendi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wrexham stars are treated to ANOTHER trip to Las Vegas after their
'monster' all-expenses holiday last year as Ryan Reynolds and Rob
McElhenney's side celebrate pulling off back-to-back promotions
-
The Welsh outfit sealed a return to League One for the first time in 19
years after finishing second in the fourth tier of English football,
earning 88 poi...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment