Diego Costa akimtungua kipa wa Middlesbrough, Brad Guzan kutoka umbali wa mita sita kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 23 Uwanja wa Stamford Bridge, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana. Chelsea ilishinda 3-0 mabao yake mengine yakifungwa na Marcos Alonso dakika ya 34 na Nemanja Matic dakika ya 64 matokeo ambayo yanaishuka daraja rasmi Boro huku Te Blues ikizidi kuukaribia ubingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Tyrese Maxey's Game 5 heroics against the Knicks never should
have happened, as the NBA announces referees missed a travel
-
The NBA has stated that officials of Tuesday night's Game 5 between the New
York Knicks and Philadelphia 76ers missed a critical travel on Philadelphia
sta...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment