Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 57 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London. Bao la kwanza lilifungwa na Granit Xhaka dakika ya 54 na Arsenal inaongeza matumaini ya kumaliza ndani ya nne bora ikifikisha pointi 63 baada ya kucheza mechi 34 katika nafasi ya sita, nyuma ya Man United inayobaki na pointi zake 65 za mechi 35, Manchester City pointi 69 mechi 35, Liverpool pointi 70 za mechi 36, Tottenham Hotspur pointi 77 za mechi 35 na vinara, Chelsea pointi 81 za mechi 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Vardy's wife Rebekah posts four-word congratulatory message after
Leicester secured promotion... as she joins husband on FaceTime call with
Premier League legend
-
Jamie Vardy and his wife Rebekah shared a celebratory facetime call with a
Premier League icon on Friday evening after Leicester's promotion back to
the Pr...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment