Kiungo wa kimataifa wa Misri, Mohamed Elneny (kulia) akizungumza na kocha wake, Arsene Wenger baada ya kurejea kwenye mazoezi ya klabu yake, Arsenal mjini London leo kufuatia kurejea kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ambako tmu yake ilifungwa 2-1 na Cameroon katika fainali. Arsenal kesho itamenyana na Hull City katika Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police neutralize 3 suspected kidnappers, rescue abducted victim in Oyo
-
From Taiwo Oluwadare, Ibadan The Oyo State Police Command has announced the
neutralization of three suspected kidnappers and the rescue of an abducted
vi...
9 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment