Kiungo wa kimataifa wa Misri, Mohamed Elneny (kulia) akizungumza na kocha wake, Arsene Wenger baada ya kurejea kwenye mazoezi ya klabu yake, Arsenal mjini London leo kufuatia kurejea kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ambako tmu yake ilifungwa 2-1 na Cameroon katika fainali. Arsenal kesho itamenyana na Hull City katika Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ranking 76ers' Top Trade Targets After 2024 NBA Playoff Loss
-
Once again, the Philadelphia 76ers are heading into the NBA offseason
sooner than they would've liked. After advancing through the play-in
tournament, the…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment