Kikosi cha Yanga timu ya vijana ya Yanga, ambacho mwaka 1973 kilikwenda mjini Mwanza kwenye sherehe za mashindano ya uzinduzi wa timu ya Toto Africans, ambayo ni tawi la klabu hiyo mjini humo. Waliosimama kutoka kulia Mzee Kwala, Sululu, Chotta, Muhamed Mkweche, Muhamed Yahaya "Tostao" (anaechungulia jina lake halikupatikana) Kassim Manara na Shiraz Shariff (wawili wa mwisho majina yao hayakupatikana). Waliochuchumaa kutoka kushoto ni Abdulrahman, Kibonge, Bilal Kabange, Muhamed Rishard Adolph, Mohammed Sengendo, Gordian Mapango, Jaffar Abdulrahman (wawili waliobaki majina yao hayakupatiakana na kati ya mmoja wao ni Dk Ramadhani Dau
West Ham vs Liverpool - Premier League: Live score, team news and updates
as Jurgen Klopp's side look to bounce back from damaging derby day defeat
against Europe chasing Hammers
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as West Ham host Liverpool at the London Stadium in Premier League action.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment