• HABARI MPYA

    Sunday, May 10, 2015

    LEWIS MPYA ASHINDA KO YA 12 MFULULIZO, AMKALISHA ZUMBANO LOVE RAUNDI YA PILI

    BONDIA Muingereza anayechipukia vizuri katika uzito wa juu, Anthony Joshua ameendeleza wimbi lake la ushindi wa Knockout, baada ya usiku wa jana kushinda KO ya 12 mfululizo dhidi ya Zumbano Love.
    Joshua, anayefananishwa ne bingwa wa zamani wa dunia uzito wa juu, Muingereza mwenzake, Lennox Lewis alimmaliza Zumbano katika raundi ya pili tu mjini Birmingham jana.
    Baada ya ushindi huo, Joshua aliyeacha ngumi za Ridhaa baada ya kushinda Medali ya Dhahabu ya Olimpiki, atarejea ulingoni Mei 30 kuzipiga na mkongwe Kevin Johnson.
    Love was flat on his back and failed to beat the count as Joshua stopped his 12 opponent in succession 
    Bondia Zumbano Love akiwa amesinzia 'sakafuni' baada ya kuangshwa na ngumi ya Anthony Joshua 'New Lewis' jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEWIS MPYA ASHINDA KO YA 12 MFULULIZO, AMKALISHA ZUMBANO LOVE RAUNDI YA PILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top