• HABARI MPYA

    Thursday, April 19, 2012

    USHAURI WA BURE KWA NCHUNGA...


    HAYA NI MAONI YA MDAU WA SOKA,  KUHUSU YANGA...
    Patrick Kahemele, mmoja wa waliochangia mada
    SOMA: Najua nia ya mwenyekiti wa yanga ni nzuri na jitahada zake zimeonekana,lakini ni ukweli usiopingika amefeli..Mwenyekiti amefeli kutokana na kuzidiwa na timu nje na ndani..kuingoza club kubwa kama yanga kunahitaji ujuzi wa ziada na uzoefu wa mikikimikiki..mwenyeketi wa yanga hana uzoefu..Mwenyekiti wa yanga kashindwa kuchagua kamati bora za kumsaidia kazi na mbaya kuliko yote bado anizategemea kwenye utendaji na mawazo...Mwenyekiti anaonekana hana maamuzi na hana msimamo hata kwa maamuzi mabovu anayofanyaga..mfano kukubali kurudi kwa papic,alitangaza rufaa dhidi ya zameleki baadae akasema hapana,aligoma dk ya mwisho kucheza combine na simba n.k..Kwa heshima na taadhima mwenyekiti nakushauri achia madaraka..Kuachia madaraka si kushindwa bali ni kuonyesha mapenzi yako dhidi ya kile unachoongoza na sio ww peke yako,tafadhali ndugu binda achia madaraka...katibu wa yanga huna kazi unayofanya achia madaraka...sendeu unashindwa hata kuitetea yanga kama afisa habari umeeulizwa sababu ya yanga kufanyavibaya unasema msiba ww pia ondoka....Kwa jinsi ninavyoijua yanga bora muondekee wenyewe kabla mambo hajawabadilikia..........mm sio shabiki wa yanga bali natazama mambo yanavyokwenda

    WALIOJADILI NAYE:
    Hassanain Yahya: Aibu kiongozi anaomba kura kwa kutangaza kuifunga Simba tu, safari hii imekula kwao hata Yanga wakiifunga Simba haisaidii, hata mm naunga mkono wasisubiri maandamano wajitoe wenyewe kabla ya kutolewa.

    Salim Bongoland: yanga kama hatuna uwezo yanini kuingia mahasara makocha wa bei mbaya tuwape makocha wetu wa tz au africa. na natoa ushauri uchaguzi wa viongozi uwe 2yrs tu akishindwa kuleta maendeleo out akiweza agombee tena. yanga wamesajili mizigo michezaji ya nje mapesa kibao inapotea wanakula pesa tu za wadhamini kuleta michezaji mizigo tuunde yosso kama ya tambwe leya

    Patrick Kahemele: Siyo sahihi kusema mwenyekiti hafai wakati katupa ubingwa wa tz ba Cecafa, Mimi nadhani tuwape muda viongozi wetu watekeleze majukumu Yao, Kama ni papic huyu aliletwa na mfadhili wetu tuliyempokea kwa matarumbeta wakati anarudi klabuni pale airport.
    Yanga daima mbele majungu mwiko
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: USHAURI WA BURE KWA NCHUNGA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top