Heung-Min Son akiruka ruka kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Tottenham Hotspur dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Swansea City Uwanja wa Liberty kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli 88 na Christian Eriksen la tatu dakika ya 90 na ushei, wakati la Swansea lilifungwa na Wayne Routledge dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Teenager Guler scores as Real Madrid close on title
-
Arda Guler scores on his first La Liga start as Real Madrid close in on the
title with victory at Real Sociedad.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment