Theo Walcott akishangilia na Mesut Ozil baada ya wote kuifungia Arsenal ikiwalaza wapinzani wao wa London, West Ham United mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Emirates. Ozil alifunga dakika ya 58, Walcott dakika ya 68 wakati lingine lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher criticises Tottenham's 'academy' defending in defeat by
Nottingham Forest as he brands them 'naive' and hits out at Ange
Postecoglou's approach
-
Jamie Carragher criticised Tottenham following their defeat by Nottingham
Forest as he claimed that Ange Postecoglou's side resemble an 'academy'
team defe...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment