Theo Walcott akishangilia na Mesut Ozil baada ya wote kuifungia Arsenal ikiwalaza wapinzani wao wa London, West Ham United mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Emirates. Ozil alifunga dakika ya 58, Walcott dakika ya 68 wakati lingine lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rooney calls for Carrick to get permanent Man Utd job
-
Wayne Rooney calls on Manchester United to give Michael Carrick the
manager's job after boosting their hopes of Champions League qualification.
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment