Theo Walcott akishangilia na Mesut Ozil baada ya wote kuifungia Arsenal ikiwalaza wapinzani wao wa London, West Ham United mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Emirates. Ozil alifunga dakika ya 58, Walcott dakika ya 68 wakati lingine lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stephen A. Says Lakers Should Consider LeBron James Trade to Knicks for
Picks, Player
-
Could LeBron James finally be destined to play in New York City? During
Saturday's episode of The Stephen A. Smith Show, Smith cast doubt on the
Los Angeles…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment