Heung-Min Son akiruka ruka kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Tottenham Hotspur dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Swansea City Uwanja wa Liberty kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli 88 na Christian Eriksen la tatu dakika ya 90 na ushei, wakati la Swansea lilifungwa na Wayne Routledge dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rooney calls for Carrick to get permanent Man Utd job
-
Wayne Rooney calls on Manchester United to give Michael Carrick the
manager's job after boosting their hopes of Champions League qualification.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment