Heung-Min Son akiruka ruka kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Tottenham Hotspur dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Swansea City Uwanja wa Liberty kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli 88 na Christian Eriksen la tatu dakika ya 90 na ushei, wakati la Swansea lilifungwa na Wayne Routledge dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid players 'turn against Carlo Ancelotti and complain to
Florentino Perez over approach against Arsenal' - with Italian 'needing
MIRACLE to avoid sack'
-
Ancelotti, 65, is likely to have just days left in his role after Real
Madrid were dumped out of the Champions League at the quarter-final stage.
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment