Heung-Min Son akiruka ruka kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Tottenham Hotspur dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Swansea City Uwanja wa Liberty kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli 88 na Christian Eriksen la tatu dakika ya 90 na ushei, wakati la Swansea lilifungwa na Wayne Routledge dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs 'expect Rashee Rice to be suspended for at least half a season',
claims NFL insider with wide receiver facing eight charges after 119mph
Dallas car crash
-
Rice, 24, surrendered to police last month after he and another driver of a
speeding sports car allegedly caused a crash involving a half-dozen
vehicles on...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment