Kiungo wa Chelsea na Ubelgiji, Eden Hazard akipiga krosi mbele ya beki wa Uholanzi na Manchester United, Daley Blind katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Amsterdam Arena mjini Amsterdam, Uholanzi. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 Davy Klaassen akianza kuwafungia Uholanzi kwa penalti dakika ya 38 kabla ya Yannick Carrasco kuisawazishia Ubelgiji dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McShay: Bo Nix Was 'Arrogant' Pick by Broncos; Didn't Know of Any Team with
R1 Grade
-
The Denver Broncos used the 12th pick in the 2024 NFL Draft on quarterback
Bo Nix, ensuring that the team got the quarterback that head coach Sean
Payton…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment