Cristiano Ronaldo wa Real Madrid akilalamikia jambo wakati wa mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Legia Warsaw usiku huu Uwanja wa Pepsi Arena mjini Warsaw, Poland. Timu hizo zilitoka sare ya 3-3 mabao ya Legia Warsaw yakifungwa na Vadis Odjidja, Miroslav Radovic na Thibault Moulin wakati ya Real yalifungwa na Gareth Bale, Karim Benzema na Mateo Kovacic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Deebo Trade 'More Likely' Than Brandon Aiyuk After 49ers Draft
Pearsall
-
Amid rumors that they will trade one of their star wide receivers, the San
Francisco 49ers drafted wide receiver Ricky Pearsall in the first round of
the NFL…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment