Wachezaji wa Simba wakimshuhudia kipa wa African Lyon, Rostand Youthe akipatiwa matibabu wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Ilifikia wakati wachezaji wa Simba hadi wakasaidia kumtibu kipa huyo Mcameroon, lengo lao ainuke haraka mchezo uendelee waendelee kusaka bao
Hatimaye akainuka na kwenda kuanzisha tena mchezo, ingawa alijivuta vuta mno
Hapa anashangilia bao pekee la ushindi la timu yake lililofungwa na Abdallah Mguhi 'Messi' African Lyon ikiweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kuifunga Simba msimu huu
Alichofanya Wenger ndani ya miaka 22 Arsenal
-
ASUBUHI ya leo kocha wa Arsenal FC ya nchini Uingereza, mfaransa Arsene
Wenger ametangaza rasmi kuwa hatoendelea kuifundisha timu hiyo baada ya
kumalizika ...
BVB und Opel: Gemeinsamer Auftritt im CentrO
-
Seit 2012 verbindet den achtmaligen Deutschen Fußballmeister Borussia
Dortmund und Automobilhersteller Opel eine enge Partnerschaft, die im
Sommer 2017 nac...
CHOGM 2018: UK-Rwanda Relations
-
In these uncertain times, it has been fashionable to talk about new
beginnings. More often than not, the key to unlocking a stable future can
be found in...
BUSWITA, NI SUALA LA BENCHI KUAMUA
-
KIUNGO Pius Buswita leo asubuhi amefanya mazoezi na sambamba na
wachezaji wengine wa kikosi cha kwanza. kufuatia nafuu ya maumivu ya
kifundo cha mguu ya...
0 comments:
Post a Comment