• HABARI MPYA

    Monday, November 07, 2016

    MAMBO MENGINE BWANA!

    Wachezaji wa Simba wakimshuhudia kipa wa African Lyon, Rostand Youthe akipatiwa matibabu wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
    Ilifikia wakati wachezaji wa Simba hadi wakasaidia kumtibu kipa huyo Mcameroon, lengo lao ainuke haraka mchezo uendelee waendelee kusaka bao 
    Hatimaye akainuka na kwenda kuanzisha tena mchezo, ingawa alijivuta vuta mno
    Hapa anashangilia bao pekee la ushindi la timu yake lililofungwa na Abdallah Mguhi 'Messi' African Lyon ikiweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kuifunga Simba msimu huu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAMBO MENGINE BWANA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top