MTENDAJI Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin ‘Popat’ (kushoto) akisaini mkataba na kiungo, Ismail Aziz Kader (kulia) leo Jijini Dar es Salaam.
Kader alijiunga na Azam msimu wa 2020/21 kwa mkataba wa miaka miwili ambao unaisha mwishoni mwa msimu huu na kwa kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja leo sasa ataendelea kupiga kazi Chamazi hadi mwakani.
0 comments:
Post a Comment