• HABARI MPYA

    Saturday, February 05, 2022

    ISMAIL AZIZ AONGEZA MWAKA MMOJA AZAM FC


    MTENDAJI Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin ‘Popat’ (kushoto) akisaini mkataba na kiungo, Ismail Aziz Kader (kulia) leo Jijini Dar es Salaam.
    Kader alijiunga na Azam msimu wa 2020/21 kwa mkataba wa miaka miwili ambao unaisha mwishoni mwa msimu huu na kwa kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja leo sasa ataendelea kupiga kazi Chamazi hadi mwakani.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ISMAIL AZIZ AONGEZA MWAKA MMOJA AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top