Nyota wa Coastal Union ya Tanga, kipa Hussein Sharrif 'Casillas' (kulia) na mshambuliaji Ayoub Lyanga wakiwa tayari kwa mazoezi binafsi ufukweni Jijini Dar ea Salaam leo kipindi hiki klabu yao imesitisha mazoezi ya pamoja kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Wheatley reacts to historic 'honour'
-
See what 18-year-old Ethan said, after becoming the club's 250th player to
graduate from the Academy.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment