AWAMU YA PILI YA UKARABATI WA UWANJA WA AZAM COMPLEX YAANZA KWA KASI CHAMAZI, SASA NI MAJUKWAA
Baada ya ukarabati wa sehemu ya kuchezea (pitch) kukamilika vizuri, sasa Azam FC imeanza rasmi kukarabati majukwaa ya mashabiki kwenye Uwanja wake wa Azam Complex, uliopo Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam
Mafundi tayari wameanza kutoa mbao zilizochakaa kwenye majukwaa yote ndani ya Azam Complex, kabla ya kumalizia na zoezi la kuweka mbao mpya katika sehemu za kukalia za mashabiki
Mafundi wakitoa mbao zilizochakaa kwenye majukwaa ya Azam Complex ili waweke mpya
Item Reviewed: AWAMU YA PILI YA UKARABATI WA UWANJA WA AZAM COMPLEX YAANZA KWA KASI CHAMAZI, SASA NI MAJUKWAA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
One on One Interview with retiring goalie Buule
-
When footballers make the bold decision to call time on their illustrious
careers, they usually retire from the game. And like the common phrase,
“every ...
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni