Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
Kelly Piquet likes a post defending Nelson Piquet despite racial slur against Sir Lewis Hamilton
-
Piquet called Hamilton the n-word while referring to the superstar on a
podcast last November, having discussed the crash between him and
Verstappen at the...
Dakika 36 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni