Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
Meet Pauline Astier, our new favorite player who we can’t collect
-
We have a lot to talk about this week. McDonald’s World Cup cups, the
actual World Cup… and more. Since prediction markets are hot right now, I
am going down
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment