Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
Local elections in the West Bank and part of Gaza could test public trust
-
DEIR AL-BALAH, Gaza Strip (AP) — For the first time in two decades,
Palestinians in battle-scarred Gaza are voting in local elections Saturday.
And in the ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment