Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
Named: The Premier League club whose fans will have to fork out nearly
£5,000 to follow their team this season - as staggering new data reveals
where every side ranks, with surprise No 1
-
New data has revealed that it could cost £5,000 to follow the most
expensive team in the Premier League this season home and away - and that's
a conservati...
11 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment