Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
LA Rams Super Bowl winner Darious Williams retires at 32 after eight
seasons in the NFL
-
The veteran cornerback, who is set to turn 33 later this month, was placed
on the reserve/retired list by the Los Angeles Rams before his retirement
was co...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment