Kiungo wa timu ya wanaume ya Yanga SC, Mnyarwanda Haruna Niyonzima akiwa na beki wa timu ya wanawake ya Simba SC, Fatuma Issa 'Densa' mazoezini ufukweni mwa Bahari ya Hindi, Dar es Salaam kipindi hiki klabu zao zimesitisha mazoezi ya vikosi vyake baada ya zuio la Serikali kufuatia mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Transfer dominos: Atalanta’s stance on Palestra could send Frattesi to
Juventus
-
The transfer rumour mill is in full swing, and reports in Italy claim that
if Inter are unable to secure a deal for Atalanta’s Marco Palestra, then
they wi...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment