Bondia mstaafu, Mike Tyson mwenye umri wa miaka 53 (kushoto) akiwa gym kujijndaa kurejea uliangoni tangu alipopigana kwa mara ya mwisho Juni 11, mwaka 2005 na kushindwa kwa pinti na Kevin McBride ukumbi wa MCI Center Jijini Washington. Promota wa ngumi Jijini Melbourne, Brian Amatruda amempa Tyson ya kurudi ulingoni kwa pambano na gwji wa Rugby, Sonny Bill Williams nchini Australia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Get over it Gary! Sky Sports reporter Gary Cotterill tells Ten Hag to 'learn' from Louis van Gaal
-
Cotterill posted a picture of him alongside Van Gaal soon after he had
spoken to the Dutchman following his appointment as United boss in 2014 in
an appare...
Dakika 11 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni