WACHEZAJI wa Simba SC kutoka kulia kiungo mshambuliaji Bakari Iddi, beki Fikiri Magoso na mshambuliaji Gabriel ‘Gebo’ Peter Magali (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar, msimu ambao Wekundu hao wa Msimbazi walibeba taji hilo baada ya kuwafunga watani, Yanga kwa penalti kwenye fainali.
Local elections in the West Bank and part of Gaza could test public trust
-
DEIR AL-BALAH, Gaza Strip (AP) — For the first time in two decades,
Palestinians in battle-scarred Gaza are voting in local elections Saturday.
And in the ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment