WACHEZAJI wa Simba SC kutoka kulia kiungo mshambuliaji Bakari Iddi, beki Fikiri Magoso na mshambuliaji Gabriel ‘Gebo’ Peter Magali (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar, msimu ambao Wekundu hao wa Msimbazi walibeba taji hilo baada ya kuwafunga watani, Yanga kwa penalti kwenye fainali.
LA Rams Super Bowl winner Darious Williams retires at 32 after eight
seasons in the NFL
-
The veteran cornerback, who is set to turn 33 later this month, was placed
on the reserve/retired list by the Los Angeles Rams before his retirement
was co...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment