WACHEZAJI wa Simba SC kutoka kulia kiungo mshambuliaji Bakari Iddi, beki Fikiri Magoso na mshambuliaji Gabriel ‘Gebo’ Peter Magali (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar, msimu ambao Wekundu hao wa Msimbazi walibeba taji hilo baada ya kuwafunga watani, Yanga kwa penalti kwenye fainali.
Christian leaders in the Lebanese city of Tyre urge for action after
Israel's evacuation warning
-
SIDON, Lebanon (AP) — Christian religious leaders from Lebanon’s southern
port city of Tyre called on the international community and Lebanese
officials on...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment