• HABARI MPYA

    Sunday, May 31, 2020

    NYOTA WA SIMBA 1992, BAKARI IDDI, MAGOSO NA MAREHEMU GEBO PETER

    WACHEZAJI wa Simba SC kutoka kulia kiungo mshambuliaji Bakari Iddi, beki Fikiri Magoso na mshambuliaji Gabriel ‘Gebo’ Peter Magali (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar, msimu ambao Wekundu hao wa Msimbazi walibeba taji hilo baada ya kuwafunga watani, Yanga kwa penalti kwenye fainali.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NYOTA WA SIMBA 1992, BAKARI IDDI, MAGOSO NA MAREHEMU GEBO PETER Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top