WACHEZAJI wa Simba SC kutoka kulia kiungo mshambuliaji Bakari Iddi, beki Fikiri Magoso na mshambuliaji Gabriel ‘Gebo’ Peter Magali (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar, msimu ambao Wekundu hao wa Msimbazi walibeba taji hilo baada ya kuwafunga watani, Yanga kwa penalti kwenye fainali.
Meet Pauline Astier, our new favorite player who we can’t collect
-
We have a lot to talk about this week. McDonald’s World Cup cups, the
actual World Cup… and more. Since prediction markets are hot right now, I
am going down
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment