WACHEZAJI wa Simba SC kutoka kulia kiungo mshambuliaji Bakari Iddi, beki Fikiri Magoso na mshambuliaji Gabriel ‘Gebo’ Peter Magali (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar, msimu ambao Wekundu hao wa Msimbazi walibeba taji hilo baada ya kuwafunga watani, Yanga kwa penalti kwenye fainali.
Kylian Mbappe filmed kicking field goals on a trip to the LA Rams' SoFi stadium
-
Mbappe, who is spending his summer break Stateside, was filmed kicking
field goals at the LA Rams' SoFi stadium in Los Angeles.
Dakika 40 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni