Promota Eddie Hearn amesema pambano la ngumi za kulipwa la uzito wa juu kati ya Dillian Whyte (kushoto) na Alexander Povetkin (kulia) litafanyika bila watazamaji ukumbi wa Manchester Arena, England mwishoni mwa Julai au mwanzoni mwa Agosti kutokana na hofu ya maambukizi ya virusi vya corona kipindi hiki misongamano ya watu imezuiwa duniani kote sababu ya mlipuko wa virusi hivyo vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID 19
Tennessee Titans drop major hint on they will choose with the first pick of
the 2025 NFL Draft
-
Tennessee Titans President of Football Operations Chad Brinker has dropped
a major hint on Wednesday as to who the team will be selecting first
overall at ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment