Promota Eddie Hearn amesema pambano la ngumi za kulipwa la uzito wa juu kati ya Dillian Whyte (kushoto) na Alexander Povetkin (kulia) litafanyika bila watazamaji ukumbi wa Manchester Arena, England mwishoni mwa Julai au mwanzoni mwa Agosti kutokana na hofu ya maambukizi ya virusi vya corona kipindi hiki misongamano ya watu imezuiwa duniani kote sababu ya mlipuko wa virusi hivyo vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID 19
Local elections in the West Bank and part of Gaza could test public trust
-
DEIR AL-BALAH, Gaza Strip (AP) — For the first time in two decades,
Palestinians in battle-scarred Gaza are voting in local elections Saturday.
And in the ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment