• HABARI MPYA

    Thursday, May 28, 2020

    AZAM FC WALIVYOREJEA MAZOEZINI JANA CHAMAZI KUJIANDAA KUMALIZIA MSIMU

    Mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda akikokota mpira jana katika siku ya kwanza ya timu yake kurejea mazoezini  kujiandaa kumalizia msimu baada ya zuio la tangu katikati ya Machi kwa hofu ya mambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
    Kiungo wa Azam FC, Iddi Suleiman Nado akikokota mpira jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam  
    Kiungo wa Azam FC, Frank Raymond Domayo akichezea mpira jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam 
    Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akikimbia mazoezini wanja wa Azam Complex jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC WALIVYOREJEA MAZOEZINI JANA CHAMAZI KUJIANDAA KUMALIZIA MSIMU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top