WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (baadaye Rais), akisalimiana na winga wa Taifa Stars, Said Maulid Kalikula ‘SMG’ kabla ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya Mei 18, mwaka 2002 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Harambee Stars ilishinda 5-0 na wengine kutoka kulia ni beki John Mwansasu na kiungo Shekhan Rashid wakati kushoto ni kiungo Shaaban Ramadhani na mshambuliaji Nteze John.
Arne Slot hints Alisson could leave Liverpool this summer, with injury-hit
goalkeeper targeted by Juventus
-
Arne Slot has not ruled out the possibility of Alisson leaving Liverpool
this summer. The injury-hit No 1 goalkeeper, currently out of action yet
again for...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment