WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (baadaye Rais), akisalimiana na winga wa Taifa Stars, Said Maulid Kalikula ‘SMG’ kabla ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya Mei 18, mwaka 2002 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Harambee Stars ilishinda 5-0 na wengine kutoka kulia ni beki John Mwansasu na kiungo Shekhan Rashid wakati kushoto ni kiungo Shaaban Ramadhani na mshambuliaji Nteze John.
Luka Dončić, Mavs Hyped By NBA Fans for Series-Tying Win vs. Kawhi Leonard,
Clippers
-
Home-court advantage belongs to the Dallas Mavericks. Luka Dončić led his
team to a 96-93 victory over the Los Angeles Clippers in Game 2 of their
first-ro...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment