WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (baadaye Rais), akisalimiana na winga wa Taifa Stars, Said Maulid Kalikula ‘SMG’ kabla ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya Mei 18, mwaka 2002 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Harambee Stars ilishinda 5-0 na wengine kutoka kulia ni beki John Mwansasu na kiungo Shekhan Rashid wakati kushoto ni kiungo Shaaban Ramadhani na mshambuliaji Nteze John.
Bernard Tomic and girlfriend Keely Hannah spotted on the Gold Coast as
reason behind betting probe from previous matches is revealed
-
One-time Aussie tennis star Bernard Tomic has been spotted on the Gold
Coast with his girlfriend the day after a betting probe was revealed
involving two m...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment