WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (baadaye Rais), akisalimiana na winga wa Taifa Stars, Said Maulid Kalikula ‘SMG’ kabla ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya Mei 18, mwaka 2002 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Harambee Stars ilishinda 5-0 na wengine kutoka kulia ni beki John Mwansasu na kiungo Shekhan Rashid wakati kushoto ni kiungo Shaaban Ramadhani na mshambuliaji Nteze John.
Newcastle vs Manchester City - FA Cup fifth round LIVE: Latest score, team
news and updates as Erling Haaland is OUT of Pep Guardiola's squad for
clash at St James' Park
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Newcastle welcome Manchester City to St James' Park in the fifth
round o...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment