Wachezaji wa Yanga SC kutoka kulia Salum Kabunda ‘Ninja’ (sasa marehemu), Kenny Mkapa, Abeid Mziba, Method Mogella, David Mwakalebela, Said Mwamba ‘Kizota’ (marehemu) na Hamisi Gaga (sasa marehemu) wakifurahia ushindi wa 1-0 dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Aprili 12, mwaka 1992 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru (sasa Taifa) Jijini Dar es Salaam. Bao hilo pekee la Yanga lilifungwa na beki wa kushoto, Kenneth Pius Mkapa dakika ya 10 akimtungua kipa hodari, Mwameja Mohamed.
Newcastle vs Manchester City - FA Cup fifth round LIVE: Latest score, team
news and updates as Erling Haaland is OUT of Pep Guardiola's squad for
clash at St James' Park
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Newcastle welcome Manchester City to St James' Park in the fifth
round o...
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment