Wachezaji wa Coastal Union ya Tanga kutoka kushoto kipa Mwameja Mohamed, beki Yassin Abuu Napili na kiungo Kassa Mussa wakiwa na marefa Army Santamea (sasa Mchungaji) na Omar Juma (sasa marehemu) wote wa Mwanza kabla ya mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1988 dhidi ya wenyeji, Pamba SC Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Coastal Union ilishinda 1-0 na kujisafishia njia ya ubingwa wao pekee wa ligi hiyo msimu huo.
Newcastle vs Manchester City - FA Cup fifth round LIVE: Latest score, team
news and updates as Erling Haaland is OUT of Pep Guardiola's squad for
clash at St James' Park
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Newcastle welcome Manchester City to St James' Park in the fifth
round o...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment