Wachezaji wa Coastal Union ya Tanga kutoka kushoto kipa Mwameja Mohamed, beki Yassin Abuu Napili na kiungo Kassa Mussa wakiwa na marefa Army Santamea (sasa Mchungaji) na Omar Juma (sasa marehemu) wote wa Mwanza kabla ya mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1988 dhidi ya wenyeji, Pamba SC Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Coastal Union ilishinda 1-0 na kujisafishia njia ya ubingwa wao pekee wa ligi hiyo msimu huo.
Leeds 'launch talks' with RB Salzburg's Tyler Adams and Mohamed Camara as Kalvin Phillips nears exit
-
England midfielder Phillips is expected to agree terms with City next week
after Leeds finalised a £45m deal with the Premier League champions,
leaving a c...
Dakika 25 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni