Wachezaji wa Coastal Union ya Tanga kutoka kushoto kipa Mwameja Mohamed, beki Yassin Abuu Napili na kiungo Kassa Mussa wakiwa na marefa Army Santamea (sasa Mchungaji) na Omar Juma (sasa marehemu) wote wa Mwanza kabla ya mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1988 dhidi ya wenyeji, Pamba SC Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Coastal Union ilishinda 1-0 na kujisafishia njia ya ubingwa wao pekee wa ligi hiyo msimu huo.
Local elections in the West Bank and part of Gaza could test public trust
-
DEIR AL-BALAH, Gaza Strip (AP) — For the first time in two decades,
Palestinians in battle-scarred Gaza are voting in local elections Saturday.
And in the ...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment