Wachezaji wa Coastal Union ya Tanga kutoka kushoto kipa Mwameja Mohamed, beki Yassin Abuu Napili na kiungo Kassa Mussa wakiwa na marefa Army Santamea (sasa Mchungaji) na Omar Juma (sasa marehemu) wote wa Mwanza kabla ya mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1988 dhidi ya wenyeji, Pamba SC Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Coastal Union ilishinda 1-0 na kujisafishia njia ya ubingwa wao pekee wa ligi hiyo msimu huo.
Report: Mavs' Dereck Lively II Expected to Miss 2-3 Months With Foot Injury
-
Already playing without Luka Dončić due to a calf injury, the Dallas
Mavericks are also going to be missing Dereck Lively II for an extended
period of time.…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment